Genesis 49:25


25 kwa sababu ya Mungu wa baba yako, anayekusaidia,
kwa sababu ya Mwenyezi,
Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
yeye anayekubariki
kwa baraka za mbinguni juu,
baraka za kilindi kilichoko chini,
baraka za matitini na za tumbo la uzazi.
Copyright information for SwhKC